19 Na binti-mkwe wake, mke wa Finehasi, alikuwa na mimba karibu na kuzaa, naye akasikia habari kwamba sanduku la Mungu wa kweli limetekwa na kwamba baba-mkwe wake na mume wake wamekufa. Kwa hiyo akainama, akaanza kuzaa, kwa sababu uchungu wake ulimjia bila kutazamiwa.+