Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwamba utapaaza neno hili la kimethali juu ya mfalme wa Babiloni na kusema:

      “Lo! Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi amefikia kikomo, ukandamizaji ukafikia kikomo!+

  • Yeremia 25:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Na itatukia kwamba miaka 70 itakapotimia+ nitatoza hesabu juu ya mfalme wa Babiloni na juu ya taifa lake,’+ asema Yehova, ‘kwa sababu ya kosa lao, juu ya nchi ya Wakaldayo,+ nami nitaifanya kuwa mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Yeremia 50:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Neno ambalo Yehova alisema kuhusu Babiloni,+ kuhusu nchi ya Wakaldayo,+ kupitia Yeremia nabii:

  • Ufunuo 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akapaaza kilio kwa sauti yenye nguvu,+ akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila pumzi+ chafu na mahali pa kuvizia pa kila ndege mchafu na mwenye kuchukiwa!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki