-
Ufunuo 18:2Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
2 Naye akapaaza kilio kwa sauti yenye nguvu, akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka, na amekuwa mahali pa kukaa pa roho waovu na mahali pa kuotea pa kila mpumuo usio safi na mahali pa kuotea pa kila ndege asiye safi na mwenye kuchukiwa!
-