Isaya 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tazama kinachokuja: Wanaume wakiwa katika gari la vita na kundi la farasi wa vita!”+ Kisha akasema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+ Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunjavunja na kuziangusha chini!”+ Yeremia 51:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Babiloni ameanguka ghafla, naye amevunjika.+ Mwombolezeeni!+ Leteni zeri kwa ajili ya maumivu yake; labda atapona.” Ufunuo 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa+ ameanguka,+ yule aliyeyafanya mataifa yote yanywe divai ya hamu* ya uasherati* wake!”+
9 Tazama kinachokuja: Wanaume wakiwa katika gari la vita na kundi la farasi wa vita!”+ Kisha akasema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+ Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunjavunja na kuziangusha chini!”+
8 Babiloni ameanguka ghafla, naye amevunjika.+ Mwombolezeeni!+ Leteni zeri kwa ajili ya maumivu yake; labda atapona.”
8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa+ ameanguka,+ yule aliyeyafanya mataifa yote yanywe divai ya hamu* ya uasherati* wake!”+