-
Ufunuo 18:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Naye akasema kwa sauti yenye nguvu: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila roho mchafu* na kila ndege mchafu anayechukiwa!+ 3 Kwa sababu ya divai ya hamu* ya uasherati* wake, mataifa yote yamenaswa,+ na wafalme wa dunia walifanya uasherati naye,+ na wafanyabiashara* wa dunia walikuwa matajiri kutokana na nguvu za anasa yake isiyo na aibu.”
-