Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 51:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Babiloni amekuwa kikombe cha dhahabu mkononi mwa Yehova;

      Aliilewesha dunia yote.

      Mataifa yamekunywa divai yake;+

      Ndiyo sababu mataifa yameshikwa na wazimu.+

       8 Babiloni ameanguka ghafla, naye amevunjika.+

      Mwombolezeeni!+

      Leteni zeri kwa ajili ya maumivu yake; labda atapona.”

  • Ufunuo 17:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba+ akaja na kuniambia: “Njoo, nitakuonyesha hukumu dhidi ya yule kahaba mkubwa anayekaa juu ya maji mengi,+ 2 ambaye wafalme wa dunia walifanya uasherati* naye,+ na watu wanaokaa duniani walileweshwa kwa divai ya uasherati* wake.”+

  • Ufunuo 18:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akasema kwa sauti yenye nguvu: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila roho mchafu* na kila ndege mchafu anayechukiwa!+ 3 Kwa sababu ya divai ya hamu* ya uasherati* wake, mataifa yote yamenaswa,+ na wafalme wa dunia walifanya uasherati naye,+ na wafanyabiashara* wa dunia walikuwa matajiri kutokana na nguvu za anasa yake isiyo na aibu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki