Isaya 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tazama kinachokuja: Wanaume wakiwa katika gari la vita na kundi la farasi wa vita!”+ Kisha akasema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+ Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunjavunja na kuziangusha chini!”+ Isaya 47:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini mambo haya mawili yatakupata ghafla, kwa siku moja:+ Kupoteza watoto na ujane. Yatakupata kwa kipimo kamili+Kwa sababu ya* ulozi wako mwingi na uchawi wako wenye nguvu.+ Ufunuo 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa+ ameanguka,+ yule aliyeyafanya mataifa yote yanywe divai ya hamu* ya uasherati* wake!”+
9 Tazama kinachokuja: Wanaume wakiwa katika gari la vita na kundi la farasi wa vita!”+ Kisha akasema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+ Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunjavunja na kuziangusha chini!”+
9 Lakini mambo haya mawili yatakupata ghafla, kwa siku moja:+ Kupoteza watoto na ujane. Yatakupata kwa kipimo kamili+Kwa sababu ya* ulozi wako mwingi na uchawi wako wenye nguvu.+
8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa+ ameanguka,+ yule aliyeyafanya mataifa yote yanywe divai ya hamu* ya uasherati* wake!”+