Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Tazama kinachokuja:

      Wanaume wakiwa katika gari la vita na kundi la farasi wa vita!”+

      Kisha akasema:

      “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+

      Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunjavunja na kuziangusha chini!”+

  • Isaya 47:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Lakini mambo haya mawili yatakupata ghafla, kwa siku moja:+

      Kupoteza watoto na ujane.

      Yatakupata kwa kipimo kamili+

      Kwa sababu ya* ulozi wako mwingi na uchawi wako wenye nguvu.+

  • Ufunuo 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa+ ameanguka,+ yule aliyeyafanya mataifa yote yanywe divai ya hamu* ya uasherati* wake!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki