Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 21:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana mfalme wa Babiloni amesimama ili kufanya uaguzi* kwenye njia panda, mahali ambapo zile barabara mbili zinatengana. Anaitikisa mishale. Anaomba ushauri kutoka kwa sanamu* zake; anachunguza ini.

  • Danieli 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mfalme akawaita kwa sauti kubwa watu wanaofanya mazingaombwe, Wakaldayo,* na wanajimu.+ Mfalme akawaambia wanaume hao wenye hekima wa Babiloni: “Mtu yeyote atakayesoma maandishi haya na kuniambia maana yake atavishwa mavazi ya zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni mwake,+ naye atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.”+

  • Ufunuo 18:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Hakuna nuru ya taa itakayoangaza tena ndani yako, na hakuna sauti ya bwana harusi na bibi harusi itakayosikiwa tena ndani yako; kwa kuwa wafanyabiashara wako walikuwa watu wenye vyeo vya juu duniani, kwa maana mataifa yote yalipotoshwa kwa mazoea yako ya kuwasiliana na roho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki