-
Ufunuo 18:23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
23 na hakuna nuru ya taa itakayoangaza tena kamwe ndani yako, na hakuna sauti ya bwana-arusi na bibi-arusi itakayosikiwa tena kamwe ndani yako;+ kwa sababu wanabiashara+ wako wanaosafiri walikuwa ndio watu wenye daraja la juu+ wa dunia, kwa maana mataifa yote yalipotoshwa kwa mazoea yako ya kuwasiliana na pepo.+
-
-
Ufunuo 18:23Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
23 na hakuna nuru ya taa itakayong’aa tena kamwe katika wewe, na hakuna sauti yoyote ya bwana-arusi na bibi-arusi itakayosikiwa tena kamwe katika wewe; kwa sababu wafanya-biashara wako wanaosafiri walikuwa watu wenye daraja la juu wa dunia, kwa maana kwa zoea lako la kuwasiliana na roho mataifa yote yaliongozwa vibaya.
-