-
Ufunuo 18:23Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
23 na hakuna nuru ya taa itakayong’aa tena kamwe katika wewe, na hakuna sauti yoyote ya bwana-arusi na bibi-arusi itakayosikiwa tena kamwe katika wewe; kwa sababu wafanya-biashara wako wanaosafiri walikuwa watu wenye daraja la juu wa dunia, kwa maana kwa zoea lako la kuwasiliana na roho mataifa yote yaliongozwa vibaya.
-