Isaya 47:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini mambo haya mawili yatakujia wewe kwa ghafula,+ katika siku moja: kupoteza watoto na ujane. Yatakuja juu yako kwa kipimo chake kamili,+ kwa ajili ya wingi wa ulozi wako, kwa ajili ya nguvu kamili za maapizo yako—kwa kuzidi mno.+ Wagalatia 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ibada ya sanamu, mazoea ya kuwasiliana na pepo,+ uadui, mizozo, wivu, milipuko ya hasira, magomvi, migawanyiko, madhehebu, Ufunuo 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 nao hawakutubu mauaji+ yao wala mazoea yao ya kuwasiliana na pepo+ wala uasherati wao wala wizi wao.
9 Lakini mambo haya mawili yatakujia wewe kwa ghafula,+ katika siku moja: kupoteza watoto na ujane. Yatakuja juu yako kwa kipimo chake kamili,+ kwa ajili ya wingi wa ulozi wako, kwa ajili ya nguvu kamili za maapizo yako—kwa kuzidi mno.+
20 ibada ya sanamu, mazoea ya kuwasiliana na pepo,+ uadui, mizozo, wivu, milipuko ya hasira, magomvi, migawanyiko, madhehebu,
21 nao hawakutubu mauaji+ yao wala mazoea yao ya kuwasiliana na pepo+ wala uasherati wao wala wizi wao.