Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 21:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana mfalme wa Babiloni alisimama tuli katika makutano ya njia, penye kichwa cha zile njia mbili, ili kufanya uaguzi.+ Ametikisa mishale. Ameuliza habari kwa kutumia terafimu;+ ametazama ndani ya ini.

  • Danieli 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi mfalme akaagiza waitwe makuhani wote wenye kufanya uchawi+ na wafanya-mazingaombwe na walozi na Wakaldayo ili wamwambie mfalme ndoto zake.+ Nao wakaingia na kusimama mbele ya mfalme.

  • Danieli 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mfalme akaita kwa sauti kubwa akasema waletwe ndani wafanya-mazingaombwe, Wakaldayo na wanajimu.+ Mfalme akawaambia watu wenye hekima wa Babiloni: “Mtu yeyote atakayesoma maandishi haya na kunionyesha tafsiri yake kamili, atavikwa mavazi ya zambarau,+ pamoja na mkufu wa dhahabu shingoni mwake, naye atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.”+

  • Ufunuo 18:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 na hakuna nuru ya taa itakayoangaza tena kamwe ndani yako, na hakuna sauti ya bwana-arusi na bibi-arusi itakayosikiwa tena kamwe ndani yako;+ kwa sababu wanabiashara+ wako wanaosafiri walikuwa ndio watu wenye daraja la juu+ wa dunia, kwa maana mataifa yote yalipotoshwa kwa mazoea yako ya kuwasiliana na pepo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki