Ezekieli 21:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana mfalme wa Babiloni amesimama ili kufanya uaguzi* kwenye njia panda, mahali ambapo zile barabara mbili zinatengana. Anaitikisa mishale. Anaomba ushauri kutoka kwa sanamu* zake; anachunguza ini. Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 21:21 g 1/11 11 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:21 Amkeni!,1/2011, uku. 11 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 19
21 Kwa maana mfalme wa Babiloni amesimama ili kufanya uaguzi* kwenye njia panda, mahali ambapo zile barabara mbili zinatengana. Anaitikisa mishale. Anaomba ushauri kutoka kwa sanamu* zake; anachunguza ini.