Danieli 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Bali mkionyesha ndoto hiyo na tafsiri yake, mtapokea zawadi na tuzo na heshima kubwa kutoka kwangu.+ Basi nionyesheni ndoto hiyo na tafsiri yake.” Danieli 2:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Basi mfalme akamfanya Danieli kuwa mtu mkuu,+ akampa zawadi nyingi kubwa, naye akamfanya kuwa mtawala juu ya wilaya yote ya utawala ya Babiloni na mkuu wa manaibu wa maliwali juu ya watu wote wenye hekima wa Babiloni.+ Danieli 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na juu yao maofisa wakuu watatu, ambao Danieli alikuwa mmoja wao,+ ili maliwali+ hao wawe wakiwapa habari sikuzote ili mfalme asipate hasara.+
6 Bali mkionyesha ndoto hiyo na tafsiri yake, mtapokea zawadi na tuzo na heshima kubwa kutoka kwangu.+ Basi nionyesheni ndoto hiyo na tafsiri yake.”
48 Basi mfalme akamfanya Danieli kuwa mtu mkuu,+ akampa zawadi nyingi kubwa, naye akamfanya kuwa mtawala juu ya wilaya yote ya utawala ya Babiloni na mkuu wa manaibu wa maliwali juu ya watu wote wenye hekima wa Babiloni.+
2 na juu yao maofisa wakuu watatu, ambao Danieli alikuwa mmoja wao,+ ili maliwali+ hao wawe wakiwapa habari sikuzote ili mfalme asipate hasara.+