Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo iweni waangalifu kusiwe na uzembe kuhusu kutenda jambo hili, ili madhara hayo yasiongezeke yawe kwa hasara ya wafalme.”+

  • Esta 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana tumeuzwa,+ mimi na watu wangu, tuangamizwe, tuuawe na kuharibiwa.+ Basi ikiwa tungaliuzwa tuwe watumwa+ na wajakazi, ningalinyamaza kimya. Lakini taabu hii haifai ikiwa inamletea mfalme hasara.”

  • Luka 19:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa hiyo kwa nini hukutia fedha zangu katika mahali pa kutunzia akiba? Kisha wakati ambapo ningefika ningezichukua pamoja na faida.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki