Ezra 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo iweni waangalifu kusiwe na uzembe kuhusu kutenda jambo hili, ili madhara hayo yasiongezeke yawe kwa hasara ya wafalme.”+ Esta 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana tumeuzwa,+ mimi na watu wangu, tuangamizwe, tuuawe na kuharibiwa.+ Basi ikiwa tungaliuzwa tuwe watumwa+ na wajakazi, ningalinyamaza kimya. Lakini taabu hii haifai ikiwa inamletea mfalme hasara.” Luka 19:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa hiyo kwa nini hukutia fedha zangu katika mahali pa kutunzia akiba? Kisha wakati ambapo ningefika ningezichukua pamoja na faida.’+
22 Kwa hiyo iweni waangalifu kusiwe na uzembe kuhusu kutenda jambo hili, ili madhara hayo yasiongezeke yawe kwa hasara ya wafalme.”+
4 Kwa maana tumeuzwa,+ mimi na watu wangu, tuangamizwe, tuuawe na kuharibiwa.+ Basi ikiwa tungaliuzwa tuwe watumwa+ na wajakazi, ningalinyamaza kimya. Lakini taabu hii haifai ikiwa inamletea mfalme hasara.”
23 Kwa hiyo kwa nini hukutia fedha zangu katika mahali pa kutunzia akiba? Kisha wakati ambapo ningefika ningezichukua pamoja na faida.’+