20 Unaweza kumlipiza mgeni+ faida, lakini ndugu yako usimfanye alipe faida;+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kazi zako zote katika nchi ambayo unaenda kuimiliki.+
27 Hivyo, basi, ulipaswa kuwa umeweka fedha zangu kwa wenye kutunza akiba, na wakati wa kufika kwangu ningekuwa nikipokea kilicho changu pamoja na faida.+