Methali 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Anayezidisha vitu vyake vyenye thamani kwa faida+ na riba humkusanyia tu mtu anayeonyesha kibali kwa watu wa hali ya chini.+ Ezekieli 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ameuepusha mkono wake na mwenye kuteseka; hajachukua riba+ wala faida+ yoyote; ameyafanya maamuzi yangu ya hukumu;+ ametembea katika amri zangu;+ yeye mwenyewe hatakufa kwa sababu ya kosa la baba yake.+ Hakika ataendelea kuishi.+
8 Anayezidisha vitu vyake vyenye thamani kwa faida+ na riba humkusanyia tu mtu anayeonyesha kibali kwa watu wa hali ya chini.+
17 ameuepusha mkono wake na mwenye kuteseka; hajachukua riba+ wala faida+ yoyote; ameyafanya maamuzi yangu ya hukumu;+ ametembea katika amri zangu;+ yeye mwenyewe hatakufa kwa sababu ya kosa la baba yake.+ Hakika ataendelea kuishi.+