Ezekieli 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 anaepuka kuwakandamiza maskini; hatozi riba wala kutoza faida; naye anafuata sheria zangu;* ametembea katika amri zangu. Mtu huyo hatakufa kwa sababu ya kosa la baba yake. Kwa hakika ataendelea kuishi.
17 anaepuka kuwakandamiza maskini; hatozi riba wala kutoza faida; naye anafuata sheria zangu;* ametembea katika amri zangu. Mtu huyo hatakufa kwa sababu ya kosa la baba yake. Kwa hakika ataendelea kuishi.