Danieli 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini mkiniambia ndoto yangu na kunieleza maana yake, nitawapa zawadi na tuzo na heshima kubwa.+ Basi niambieni ndoto hiyo na maana yake.”
6 Lakini mkiniambia ndoto yangu na kunieleza maana yake, nitawapa zawadi na tuzo na heshima kubwa.+ Basi niambieni ndoto hiyo na maana yake.”