Danieli 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Bali mkionyesha ndoto hiyo na tafsiri yake, mtapokea zawadi na tuzo na heshima kubwa kutoka kwangu.+ Basi nionyesheni ndoto hiyo na tafsiri yake.” Danieli 5:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ndipo Belshaza akatoa amri, nao wakamvika Danieli mavazi ya zambarau, pamoja na mkufu wa dhahabu shingoni mwake; nao wakatangaza kumhusu yeye kwamba atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.+
6 Bali mkionyesha ndoto hiyo na tafsiri yake, mtapokea zawadi na tuzo na heshima kubwa kutoka kwangu.+ Basi nionyesheni ndoto hiyo na tafsiri yake.”
29 Ndipo Belshaza akatoa amri, nao wakamvika Danieli mavazi ya zambarau, pamoja na mkufu wa dhahabu shingoni mwake; nao wakatangaza kumhusu yeye kwamba atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.+