16 Nami mwenyewe nimesikia habari zako, kwamba unaweza kutoa tafsiri+ na kufungua mafundo. Basi, ukiweza kusoma maandishi haya na kunijulisha tafsiri yake kamili, utavikwa mavazi ya zambarau, pamoja na mkufu wa dhahabu shingoni mwako, nawe utakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.”+