16 Lakini nimesikia kukuhusu kwamba unaweza kueleza maana ya mafumbo+ na kutatua matatizo magumu. Sasa, ukifaulu kusoma maandishi haya na kuniambia maana yake, utavishwa mavazi ya zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni mwako, nawe utakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.”+