-
Danieli 5:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Mfalme akawaita kwa sauti kubwa watu wanaofanya mazingaombwe, Wakaldayo,* na wanajimu.+ Mfalme akawaambia wanaume hao wenye hekima wa Babiloni: “Mtu yeyote atakayesoma maandishi haya na kuniambia maana yake atavishwa mavazi ya zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni mwake,+ naye atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.”+
-