Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Babiloni, ufalme wenye utukufu zaidi,*+

      Uzuri na fahari ya Wakaldayo,+

      Litakuwa kama Sodoma na Gomora yalipoangamizwa na Mungu.+

  • Isaya 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 utaisema methali* hii dhidi ya mfalme wa Babiloni:

      “Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi* alivyofikia mwisho wake!

      Jinsi ukandamizaji ulivyokwisha!+

  • Isaya 45:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Hivi ndivyo Yehova anavyomwambia mtiwa-mafuta wake, Koreshi,+

      Ambaye nimeushika mkono wake wa kulia+

      Ili kuyatiisha mataifa mbele yake,+

      Kuwanyang’anya silaha* wafalme,

      Kufungua mbele yake milango yenye pande mbili,

      Hivi kwamba malango hayatafungwa:

  • Yeremia 51:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Babiloni ameanguka ghafla, naye amevunjika.+

      Mwombolezeeni!+

      Leteni zeri kwa ajili ya maumivu yake; labda atapona.”

  • Danieli 5:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “PERESI, ufalme wako umegawanywa wakapewa Wamedi na Waajemi.”+

  • Danieli 5:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Usiku huohuo Belshaza mfalme wa Wakaldayo aliuawa.+

  • Ufunuo 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa+ ameanguka,+ yule aliyeyafanya mataifa yote yanywe divai ya hamu* ya uasherati* wake!”+

  • Ufunuo 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akasema kwa sauti yenye nguvu: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila roho mchafu* na kila ndege mchafu anayechukiwa!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki