Isaya 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama, ninawainua Wamedi dhidi yao,+Ambao hawaioni fedha kuwa kituNa ambao hawapendezwi na dhahabu. Isaya 41:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nimemwinua mtu kutoka kaskazini, naye atakuja,+Kutoka upande wa mapambazuko ya jua,*+ atakayeliitia jina langu. Atawakanyaga-kanyaga watawala* kana kwamba wao ni udongo,+Kama mfinyanzi anayeukanyaga-kanyaga udongo wenye maji.
17 Tazama, ninawainua Wamedi dhidi yao,+Ambao hawaioni fedha kuwa kituNa ambao hawapendezwi na dhahabu.
25 Nimemwinua mtu kutoka kaskazini, naye atakuja,+Kutoka upande wa mapambazuko ya jua,*+ atakayeliitia jina langu. Atawakanyaga-kanyaga watawala* kana kwamba wao ni udongo,+Kama mfinyanzi anayeukanyaga-kanyaga udongo wenye maji.