Isaya 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nimeambiwa maono ya kutisha: Mwenye hila anatenda kwa hila,Na mwangamizaji, anaangamiza. Nenda juu, ewe Elamu! Zingira, ewe Umedi!+ Nitakomesha kilio chote cha uchungu alichosababisha.+ Yeremia 50:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana sasa ninaamsha na kuleta dhidi ya BabiloniKusanyiko la mataifa makubwa kutoka katika nchi ya kaskazini.+ Watamshambulia wakiwa wamejipanga kivita;Kutoka hapo atatekwa. Mishale yao ni kama ya shujaaInayosababisha wazazi wafiwe na watoto;+Hairudi bila matokeo. Yeremia 51:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.* Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni. Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake. Danieli 5:30, 31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Usiku huohuo Belshaza mfalme wa Wakaldayo aliuawa.+ 31 Na Dario+ Mmedi akaupokea ufalme; alikuwa na umri wa miaka 62 hivi.
2 Nimeambiwa maono ya kutisha: Mwenye hila anatenda kwa hila,Na mwangamizaji, anaangamiza. Nenda juu, ewe Elamu! Zingira, ewe Umedi!+ Nitakomesha kilio chote cha uchungu alichosababisha.+
9 Kwa maana sasa ninaamsha na kuleta dhidi ya BabiloniKusanyiko la mataifa makubwa kutoka katika nchi ya kaskazini.+ Watamshambulia wakiwa wamejipanga kivita;Kutoka hapo atatekwa. Mishale yao ni kama ya shujaaInayosababisha wazazi wafiwe na watoto;+Hairudi bila matokeo.
11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.* Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni. Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.
30 Usiku huohuo Belshaza mfalme wa Wakaldayo aliuawa.+ 31 Na Dario+ Mmedi akaupokea ufalme; alikuwa na umri wa miaka 62 hivi.