Isaya 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tazama kinachokuja: Wanaume wakiwa katika gari la vita na kundi la farasi wa vita!”+ Kisha akasema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+ Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunjavunja na kuziangusha chini!”+ Yeremia 51:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Babiloni ameanguka ghafla, naye amevunjika.+ Mwombolezeeni!+ Leteni zeri kwa ajili ya maumivu yake; labda atapona.” Yeremia 51:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mleta habari mmoja anakimbia kukutana na mleta habari mwingine,Na mjumbe mmoja kukutana na mjumbe mwingine,Ili kumjulisha mfalme wa Babiloni kwamba jiji lake limetekwa kila upande,+ Yeremia 51:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “Watakapokuwa wamesisimka, nitaandaa karamu yao na kuwalewesha,Ili wafurahi;+Kisha watalala usingizi wa kudumu,Nao hawataamka kutoka katika usingizi huo,”+ asema Yehova. Yeremia 51:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Nitawalewesha wakuu wake na watu wake wenye hekima,+Magavana wake na watawala wake wasaidizi na mashujaa wake,Nao watalala usingizi wa kudumu,Nao hawataamka kutoka katika usingizi huo,”+ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.
9 Tazama kinachokuja: Wanaume wakiwa katika gari la vita na kundi la farasi wa vita!”+ Kisha akasema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+ Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunjavunja na kuziangusha chini!”+
8 Babiloni ameanguka ghafla, naye amevunjika.+ Mwombolezeeni!+ Leteni zeri kwa ajili ya maumivu yake; labda atapona.”
31 Mleta habari mmoja anakimbia kukutana na mleta habari mwingine,Na mjumbe mmoja kukutana na mjumbe mwingine,Ili kumjulisha mfalme wa Babiloni kwamba jiji lake limetekwa kila upande,+ Yeremia 51:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “Watakapokuwa wamesisimka, nitaandaa karamu yao na kuwalewesha,Ili wafurahi;+Kisha watalala usingizi wa kudumu,Nao hawataamka kutoka katika usingizi huo,”+ asema Yehova. Yeremia 51:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Nitawalewesha wakuu wake na watu wake wenye hekima,+Magavana wake na watawala wake wasaidizi na mashujaa wake,Nao watalala usingizi wa kudumu,Nao hawataamka kutoka katika usingizi huo,”+ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.
39 “Watakapokuwa wamesisimka, nitaandaa karamu yao na kuwalewesha,Ili wafurahi;+Kisha watalala usingizi wa kudumu,Nao hawataamka kutoka katika usingizi huo,”+ asema Yehova.
57 Nitawalewesha wakuu wake na watu wake wenye hekima,+Magavana wake na watawala wake wasaidizi na mashujaa wake,Nao watalala usingizi wa kudumu,Nao hawataamka kutoka katika usingizi huo,”+ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.