Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Tazama kinachokuja:

      Wanaume wakiwa katika gari la vita na kundi la farasi wa vita!”+

      Kisha akasema:

      “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+

      Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunjavunja na kuziangusha chini!”+

  • Yeremia 51:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Babiloni ameanguka ghafla, naye amevunjika.+

      Mwombolezeeni!+

      Leteni zeri kwa ajili ya maumivu yake; labda atapona.”

  • Yeremia 51:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mleta habari mmoja anakimbia kukutana na mleta habari mwingine,

      Na mjumbe mmoja kukutana na mjumbe mwingine,

      Ili kumjulisha mfalme wa Babiloni kwamba jiji lake limetekwa kila upande,+

  • Yeremia 51:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 “Watakapokuwa wamesisimka, nitaandaa karamu yao na kuwalewesha,

      Ili wafurahi;+

      Kisha watalala usingizi wa kudumu,

      Nao hawataamka kutoka katika usingizi huo,”+ asema Yehova.

  • Yeremia 51:57
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Nitawalewesha wakuu wake na watu wake wenye hekima,+

      Magavana wake na watawala wake wasaidizi na mashujaa wake,

      Nao watalala usingizi wa kudumu,

      Nao hawataamka kutoka katika usingizi huo,”+ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki