Zaburi 137:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 137 Kando ya mito ya Babiloni,+ hapo ndipo tulipoketi. Tulilia tulipokumbuka Sayuni.+ Isaya 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 utaisema methali* hii dhidi ya mfalme wa Babiloni: “Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi* alivyofikia mwisho wake! Jinsi ukandamizaji ulivyokwisha!+ Isaya 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Dunia nzima imepumzika sasa, haina usumbufu. Watu wanapaza sauti kwa shangwe.+ Isaya 35:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wale waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa kilio cha shangwe.+ Shangwe isiyo na kikomo itakuwa taji la vichwa vyao.+ Watapata shangwe na furaha,Na huzuni na kilio cha uchungu vitatoweka.+
4 utaisema methali* hii dhidi ya mfalme wa Babiloni: “Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi* alivyofikia mwisho wake! Jinsi ukandamizaji ulivyokwisha!+
10 Wale waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa kilio cha shangwe.+ Shangwe isiyo na kikomo itakuwa taji la vichwa vyao.+ Watapata shangwe na furaha,Na huzuni na kilio cha uchungu vitatoweka.+