Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 126:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wakati huo kinywa chetu kilijaa kicheko

      Na ulimi wetu kelele za shangwe.+

      Wakati huo ilisemwa miongoni mwa mataifa:

      “Yehova amewatendea mambo makuu.”+

  • Isaya 49:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi mbingu, na ushangilie, Ee dunia.+

      Milima na ichangamke kwa kilio cha shangwe.+

      Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+

      Naye huwaonyesha rehema watu wake mwenyewe wanaoteseka.+

  • Yeremia 51:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Mbingu na dunia na vyote vilivyomo

      Vitapiga vigelegele vya shangwe kwa sababu ya Babiloni,+

      Kwa maana waangamizaji watamvamia kutoka kaskazini,”+ asema Yehova.

  • Ufunuo 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Furahini kwa sababu yake, enyi mbingu,+ pia ninyi watakatifu+ na mitume na manabii, kwa sababu Mungu ametangaza hukumu juu yake kwa ajili yenu!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki