Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wakaanza kuimba kwa kuitikia+ wakimsifu na kumshukuru Yehova “kwa maana yeye ni mwema; upendo wake mshikamanifu kwa Israeli unadumu milele.”+ Kisha watu wote wakapaza sauti wakimsifu Yehova kwa sababu msingi wa nyumba ya Yehova ulikuwa umewekwa.

  • Zaburi 106:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Tuokoe, Ee Yehova Mungu wetu,+

      Na kutukusanya kutoka katika mataifa+

      Ili tulishukuru jina lako takatifu

      Na tushangilie kukusifu wewe.*+

  • Isaya 49:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi mbingu, na ushangilie, Ee dunia.+

      Milima na ichangamke kwa kilio cha shangwe.+

      Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+

      Naye huwaonyesha rehema watu wake mwenyewe wanaoteseka.+

  • Yeremia 31:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Watakuja na kupiga vigelegele vya shangwe juu ya kilele cha Sayuni+

      Na kung’aa kwa sababu ya wema wa* Yehova,

      Kwa sababu ya nafaka na divai mpya+ na mafuta,

      Na kwa sababu ya wanakondoo na ndama.+

      Watakuwa* kama bustani iliyonyweshwa maji vizuri,+

      Nao hawatadhoofika tena.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki