Isaya 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Siku hiyo hakika utasema: “Ninakushukuru, Ee Yehova,Kwa maana ingawa ulinikasirikia,Hasira yako ilipoa hatua kwa hatua, nawe ukanifariji.+ Isaya 40:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Wafarijini, wafarijini watu wangu,” asema Mungu wenu.+ Isaya 66:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama mama anavyomfariji mwanawe,Ndivyo nitakavyoendelea kuwafariji;+Nanyi mtafarijiwa kwa sababu ya Yerusalemu.+
12 Siku hiyo hakika utasema: “Ninakushukuru, Ee Yehova,Kwa maana ingawa ulinikasirikia,Hasira yako ilipoa hatua kwa hatua, nawe ukanifariji.+
13 Kama mama anavyomfariji mwanawe,Ndivyo nitakavyoendelea kuwafariji;+Nanyi mtafarijiwa kwa sababu ya Yerusalemu.+