Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 49:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi mbingu, na ushangilie, Ee dunia.+

      Milima na ichangamke kwa kilio cha shangwe.+

      Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+

      Naye huwaonyesha rehema watu wake mwenyewe wanaoteseka.+

  • Isaya 51:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana Yehova atalifariji Sayuni.+

      Ataleta faraja kwa magofu yake yote,+

      Naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+

      Na jangwa lake tambarare kama bustani ya Yehova.+

      Kutakuwa na furaha na shangwe ndani yake,

      Kutoa shukrani na nyimbo tamu.+

  • 2 Wakorintho 1:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Asifiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ Baba wa rehema nyororo+ na Mungu wa faraja yote,+ 4 ambaye hutufariji* katika majaribu*+ yetu yote, ili tuweze kuwafariji wengine+ walio katika majaribu* ya namna yoyote, kwa faraja ambayo tunapokea kutoka kwa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki