3 Asifiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ Baba wa rehema nyororo+ na Mungu wa faraja yote,+4 ambaye hutufariji* katika majaribu*+ yetu yote, ili tuweze kuwafariji wengine+ walio katika majaribu* ya namna yoyote, kwa faraja ambayo tunapokea kutoka kwa Mungu.+