4 Kwa maana mambo yote yaliyoandikwa zamani yaliandikwa ili kutufundisha,+ ili kupitia uvumilivu wetu+ na kupitia faraja kutoka kwa Maandiko tuwe na tumaini.+
16 Zaidi ya hayo, Bwana wetu Yesu Kristo, na Mungu Baba yetu aliyetupenda+ na kutupatia faraja ya milele na tumaini jema+ kupitia fadhili zisizostahiliwa, 17 na aifariji mioyo yenu na kuwaimarisha* katika kila tendo na neno jema.