Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:49, 50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Likumbuke neno lako ulilomwambia* mtumishi wako,

      Ambalo kupitia hilo unanipa tumaini.*

      50 Hilo ndilo faraja yangu katika mateso yangu,+

      Kwa maana neno lako limenihifadhi hai.

  • Waebrania 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa mwana+ juu ya nyumba ya Mungu. Sisi ni nyumba Yake,+ ikiwa kwa kweli tunashikilia imara uhuru wetu wa kusema na tumaini ambalo tunajisifia mpaka mwisho.

  • 1 Petro 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kuhusu wokovu huu, manabii waliotoa unabii kuhusu fadhili zisizostahiliwa zilizokusudiwa kwa ajili yenu, walifanya uchunguzi kwa bidii na kutafuta kwa uangalifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki