6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa mwana+ juu ya nyumba ya Mungu. Sisi ni nyumba Yake,+ ikiwa kwa kweli tunashikilia imara uhuru wetu wa kusema na tumaini ambalo tunajisifia mpaka mwisho.
10 Kuhusu wokovu huu, manabii waliotoa unabii kuhusu fadhili zisizostahiliwa zilizokusudiwa kwa ajili yenu, walifanya uchunguzi kwa bidii na kutafuta kwa uangalifu.+