Mathayo 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa kweli ninawaambia, manabii wengi na watu waadilifu walitamani kuona mambo mnayoona lakini hawakuyaona,+ na kusikia mambo mnayosikia lakini hawakuyasikia.
17 Kwa kweli ninawaambia, manabii wengi na watu waadilifu walitamani kuona mambo mnayoona lakini hawakuyaona,+ na kusikia mambo mnayosikia lakini hawakuyasikia.