Zaburi 94:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mahangaiko* yaliponilemea,*Ulinifariji na kunibembeleza.*+ Waroma 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana mambo yote yaliyoandikwa zamani yaliandikwa ili kutufundisha,+ ili kupitia uvumilivu wetu+ na kupitia faraja kutoka kwa Maandiko tuwe na tumaini.+
4 Kwa maana mambo yote yaliyoandikwa zamani yaliandikwa ili kutufundisha,+ ili kupitia uvumilivu wetu+ na kupitia faraja kutoka kwa Maandiko tuwe na tumaini.+