Waroma 5:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Si hilo tu, bali na tushangilie* tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+ 4 nao uvumilivu, hali yenye kukubaliwa;+ nayo hali yenye kukubaliwa, tumaini,+
3 Si hilo tu, bali na tushangilie* tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+ 4 nao uvumilivu, hali yenye kukubaliwa;+ nayo hali yenye kukubaliwa, tumaini,+