41 Basi wakatoka mbele ya Sanhedrini, wakishangilia+ kwa sababu walikuwa wamestahili kuvunjiwa heshima kwa ajili ya jina lake. 42 Na kila siku hekaluni na nyumba kwa nyumba+ wakaendelea kufundisha na kutangaza habari njema kumhusu Kristo Yesu bila kuacha.+