10 Basi ninapendezwa na udhaifu, na matusi, na nyakati za uhitaji, na mateso na shida, kwa ajili ya Kristo. Kwa maana ninapokuwa dhaifu, ndipo ninapokuwa na nguvu.+
34 Kwa maana mliwasikitikia wale waliokuwa gerezani na pia kwa shangwe mkakubali kuporwa mali zenu,+ mkijua kwamba ninyi wenyewe mna urithi* bora na wenye kudumu.+
13 Badala yake, endeleeni kushangilia+ kwa kadiri ambayo ninyi ni washiriki katika mateso ya Kristo,+ ili mshangilie na kuwa na shangwe sana pia wakati wa ufunuo wa utukufu wake.+