Waefeso 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mkizungumza kati yenu* kwa zaburi, sifa kwa Mungu, na nyimbo za kiroho, mkiimba+ na kupiga muziki+ katika mioyo yenu kwa Yehova,*+ Wakolosai 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Neno la Kristo na likae ndani yenu kwa wingi katika hekima yote. Endeleeni kufundishana na kutiana moyo* kwa zaburi,+ sifa kwa Mungu, nyimbo za kiroho zinazoimbwa kwa shukrani,* mkimwimbia Yehova* mioyoni mwenu.+
19 Mkizungumza kati yenu* kwa zaburi, sifa kwa Mungu, na nyimbo za kiroho, mkiimba+ na kupiga muziki+ katika mioyo yenu kwa Yehova,*+
16 Neno la Kristo na likae ndani yenu kwa wingi katika hekima yote. Endeleeni kufundishana na kutiana moyo* kwa zaburi,+ sifa kwa Mungu, nyimbo za kiroho zinazoimbwa kwa shukrani,* mkimwimbia Yehova* mioyoni mwenu.+