Matendo 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini karibu katikati ya usiku, Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumsifu Mungu kwa wimbo,+ nao wafungwa walikuwa wakiwasikiliza. Wakolosai 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Neno la Kristo na likae ndani yenu kwa wingi katika hekima yote. Endeleeni kufundishana na kutiana moyo* kwa zaburi,+ sifa kwa Mungu, nyimbo za kiroho zinazoimbwa kwa shukrani,* mkimwimbia Yehova* mioyoni mwenu.+
25 Lakini karibu katikati ya usiku, Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumsifu Mungu kwa wimbo,+ nao wafungwa walikuwa wakiwasikiliza.
16 Neno la Kristo na likae ndani yenu kwa wingi katika hekima yote. Endeleeni kufundishana na kutiana moyo* kwa zaburi,+ sifa kwa Mungu, nyimbo za kiroho zinazoimbwa kwa shukrani,* mkimwimbia Yehova* mioyoni mwenu.+