Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wafilipi 1:18-20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Matokeo ni nini? Ni kwamba katika kila njia, iwe ni kwa unafiki au ni kwa ukweli, Kristo anatangazwa, nami ninashangilia kuhusu jambo hilo. Kwa kweli, nitaendelea pia kushangilia, 19 kwa maana ninajua hilo litanisaidia kupata wokovu kupitia dua yenu+ na kwa msaada wa roho ya Yesu Kristo.+ 20 Hilo linapatana na tarajio langu lenye hamu na tumaini kwamba sitaona aibu kwa njia yoyote, bali kwamba kwa uhuru wote wa kusema, sasa Kristo, kama sikuzote hapo mwanzoni, atatukuzwa kupitia mwili wangu, iwe ni kupitia uzima au kupitia kifo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki