Waroma 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana tukiishi, tunaishi kwa ajili ya Yehova,*+ na tukifa, tunakufa kwa ajili ya Yehova.* Basi tukiishi na tukifa, sisi ni wa Yehova.*+ 1 Petro 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini yeyote akiteseka kwa sababu ni Mkristo, asione aibu,+ bali na aendelee kumtukuza Mungu huku akilibeba jina hili.
8 Kwa maana tukiishi, tunaishi kwa ajili ya Yehova,*+ na tukifa, tunakufa kwa ajili ya Yehova.* Basi tukiishi na tukifa, sisi ni wa Yehova.*+
16 Lakini yeyote akiteseka kwa sababu ni Mkristo, asione aibu,+ bali na aendelee kumtukuza Mungu huku akilibeba jina hili.