24 Ninashangilia sasa katika mateso yangu kwa ajili yenu,+ nami ninakabili dhiki za Kristo ambazo bado hazimo katika mwili wangu kwa ajili ya mwili wake,+ ambao ni kutaniko.+
2 huku tukimtazama kwa makini Wakili Mkuu na Mkamilishaji wa imani yetu, Yesu.+ Kwa sababu ya shangwe iliyowekwa mbele yake, alivumilia mti wa mateso,* akaidharau aibu, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Mungu.+