Isaya 44:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ninayesema kumhusu Koreshi,+ ‘Yeye ni mchungaji wangu,Naye atatimiza kikamili mapenzi yangu yote’;+Ninayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Litajengwa upya,’ Na kuhusu hekalu, ‘Msingi wako utawekwa.’”+ Isaya 65:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi furahini na kushangilia milele kwa sababu ya vitu ninavyoumba. Kwa maana tazama! ninaumba Yerusalemu kuwa sababu ya shangweNa watu wake kuwa sababu ya furaha.+ 19 Nami nitashangilia kwa sababu ya Yerusalemu na kufurahi kwa sababu ya watu wangu;+Sauti ya kulia na ya maombolezo kwa sababu ya taabu haitasikika tena ndani yake.”+
28 Ninayesema kumhusu Koreshi,+ ‘Yeye ni mchungaji wangu,Naye atatimiza kikamili mapenzi yangu yote’;+Ninayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Litajengwa upya,’ Na kuhusu hekalu, ‘Msingi wako utawekwa.’”+
18 Basi furahini na kushangilia milele kwa sababu ya vitu ninavyoumba. Kwa maana tazama! ninaumba Yerusalemu kuwa sababu ya shangweNa watu wake kuwa sababu ya furaha.+ 19 Nami nitashangilia kwa sababu ya Yerusalemu na kufurahi kwa sababu ya watu wangu;+Sauti ya kulia na ya maombolezo kwa sababu ya taabu haitasikika tena ndani yake.”+