Yeremia 51:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.* Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni. Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake. Yeremia 51:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wekeni* mataifa ya kumshambulia,Wafalme wa Umedi,+ magavana wake na watawala wake wote wasaidiziNa nchi zote wanazozitawala. Danieli 5:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “PERESI, ufalme wako umegawanywa wakapewa Wamedi na Waajemi.”+ Danieli 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Usiku huohuo Belshaza mfalme wa Wakaldayo aliuawa.+
11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.* Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni. Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.
28 Wekeni* mataifa ya kumshambulia,Wafalme wa Umedi,+ magavana wake na watawala wake wote wasaidiziNa nchi zote wanazozitawala.