Isaya 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama, ninawainua Wamedi dhidi yao,+Ambao hawaioni fedha kuwa kituNa ambao hawapendezwi na dhahabu. Danieli 5:30, 31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Usiku huohuo Belshaza mfalme wa Wakaldayo aliuawa.+ 31 Na Dario+ Mmedi akaupokea ufalme; alikuwa na umri wa miaka 62 hivi.
17 Tazama, ninawainua Wamedi dhidi yao,+Ambao hawaioni fedha kuwa kituNa ambao hawapendezwi na dhahabu.
30 Usiku huohuo Belshaza mfalme wa Wakaldayo aliuawa.+ 31 Na Dario+ Mmedi akaupokea ufalme; alikuwa na umri wa miaka 62 hivi.