Mwanzo 19:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha Yehova akaleta mvua ya kiberiti na moto juu ya Sodoma na Gomora—ilitoka kwa Yehova, kutoka mbinguni.+ 25 Kwa hiyo akayaangamiza majiji hayo, naam, wilaya yote, pamoja na wakaaji wote wa majiji hayo na mimea yote.+ Yeremia 50:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Kama Mungu alivyoangamiza Sodoma na Gomora+ na miji jirani,”+ asema Yehova, “hakuna mtu atakayekaa huko, na hakuna mtu atakayeishi huko.+
24 Kisha Yehova akaleta mvua ya kiberiti na moto juu ya Sodoma na Gomora—ilitoka kwa Yehova, kutoka mbinguni.+ 25 Kwa hiyo akayaangamiza majiji hayo, naam, wilaya yote, pamoja na wakaaji wote wa majiji hayo na mimea yote.+
40 “Kama Mungu alivyoangamiza Sodoma na Gomora+ na miji jirani,”+ asema Yehova, “hakuna mtu atakayekaa huko, na hakuna mtu atakayeishi huko.+