Isaya 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tazama kinachokuja: Wanaume wakiwa katika gari la vita na kundi la farasi wa vita!”+ Kisha akasema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+ Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunjavunja na kuziangusha chini!”+ Ufunuo 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na malaika mwenye nguvu akainua jiwe lililo kama jiwe kubwa la kusagia na kulitupa baharini, akisema: “Hivi ndivyo Babiloni lile jiji kubwa litakavyotupwa chini kwa kasi sana, naye hatapatikana tena.+
9 Tazama kinachokuja: Wanaume wakiwa katika gari la vita na kundi la farasi wa vita!”+ Kisha akasema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+ Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunjavunja na kuziangusha chini!”+
21 Na malaika mwenye nguvu akainua jiwe lililo kama jiwe kubwa la kusagia na kulitupa baharini, akisema: “Hivi ndivyo Babiloni lile jiji kubwa litakavyotupwa chini kwa kasi sana, naye hatapatikana tena.+