Yeremia 49:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo sikieni, enyi watu, uamuzi ambao* Yehova amefanya dhidi ya Edomu na mawazo yake dhidi ya wakaaji wa Temani:+ Hakika walio wadogo katika kundi watakokotwa. Atayafanya makao yao yawe ukiwa kwa sababu yao.+
20 Kwa hiyo sikieni, enyi watu, uamuzi ambao* Yehova amefanya dhidi ya Edomu na mawazo yake dhidi ya wakaaji wa Temani:+ Hakika walio wadogo katika kundi watakokotwa. Atayafanya makao yao yawe ukiwa kwa sababu yao.+