4 “Kwa sababu Edomu anaendelea kusema, ‘Tumevunjwa-vunjwa, lakini tutarudi na kujenga mahali palipoharibiwa,’ Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Wao watajenga; lakini mimi nitabomoa.+ Na watu watawaita wao kuwa “eneo la uovu” na “watu ambao Yehova ameshutumu+ mpaka wakati usio na kipimo.”